RAISI KIKWETE ZIARANI MSUMBIJI
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amekwenda Mozambique leo kwa ziara
ya kikazi ya siku mbili ambako atahudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama
wa Jumuia ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).
0 comments:
Post a Comment