SIKU moja baada ya Ikulu kuliumbua Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste
Tanzania (PCT) kwamba hawakuwasilisha majina ya uteuzi kwa Rais Jakaya
Kikwete, wameanza kushikana uchawi kumsaka aliyesababisha majina hayo
kutofika Ikulu.
Hayo yamethibitishwa jana jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa
Ushirika wa Wachungaji wa Kanisa la Pentekoste Tanzania (PPFT), Askofu
Pius Ikongo, alipokuwa akizungumza na Tanzania Daima.
Akizungumzia kuhusu tamko hilo la Ikulu, Askofu Ikongo alisema kuwa
wanafanya uchunguzi kumnasa aliyesababisha kutofika majina hayo mezani
kwa Rais Kikwete.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
0 comments:
Post a Comment