SERGIO RAMOS AFUNGIWA MECHI TANO
Sergio Ramos |
Beki Sergio Ramos wa klabu ya Real Madrid amefungiwa mechi
tano na shirikisho la soka nchini Hispania baada ya kutolewa na kadi nyekundu kumtukana mwamuzi wakati timu yake ikicheza
dhidi ya Celta vigo.
Hata hivyo ni pigo kubwa kwa
kocha wa Real Madrid Jose Mourinho ambaye ana pengo la beki wake Mreno Pepe
ambaye ni majeruhi.Mabeki wengine Marcelo na Fabio Coentrao.
Hata hivyo Real Madrid
ilishinda mechi hiyo kwa magoli 4 – 0 na kutinga hatua ya 16 bora.
NEYMAR BADO YUPO YUPO KWANZA
Neymar Santos |
Nyota wa klabu ya Santos na timu ya taifa ya
Brazili,NEYMAR amesema kuwa hana mpango wa kuhamia klabu za Ulaya kwa sasa.
Neymar(20) mchezaji bora wa
Amerika kusini amesema lengo lake ni kuisaidia SANTOS na timu ya taifa ya
Brazili.
Mchezaji huyo amekuwa
akihusishwa klabu kubwa Ulaya zikiwemo,AC Milan,Real Madrid,Chelsea na
Manchester City.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
0 comments:
Post a Comment