Naibu
Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Juma
Nkamia ambaye pia ni Mbunge wa Kondoa Kusini ,akiongea na waandishi wa
habari jijini Arusha katika studio za redio 5 zenye makao yake makuu
njiro ambapo alisema kuwa hana mpango wowote wa kugombea nafasi ya Urais
2015.
Baadhi ya waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya habari wakiwa wanafanya mahojiano na…
Naibu
Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Juma
Nkamia ambaye pia ni Mbunge wa Kondoa Kusini ,akiongea na waandishi wa
habari jijini Arusha katika studio za redio 5 zenye makao yake makuu
njiro ambapo alisema kuwa hana mpango wowote wakugombea nafasi ya Urais
2015
Baadhi
ya waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya habari wakiwa wanafanya
mahojiano na Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na
Michezo Mh. Juma Nkamia jijini Arusha katika studio za redio 5 Mkurugenzi
wa Radio 5 yenye makao yake makuu jijini Arusha Bw Robert Francis
akiwa anamsikiliza Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni
na Michezo Mh. Juma Nkamia wakati akizungumza na waandishi wa habari
kulia ni mwandishi wa chanel Ten Jamilah Omary. Mtangazaji
wa redio 5 Mwangaza Jumanne akifanya mahojiano live na Naibu Waziri wa
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Juma Nkamia.
0 comments:
Post a Comment