Kimbunga kilichoambatana na mvua kali kimeua watu wawili na kuharibu nyumba zaidi ya 183 katika Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya.
Mkuu wa mkoa Mbeya Abas akielezewa jinsi kimbunga hicho kilivyo haribu nyumba za wananchi wa kata tatu Mbarali



Mkuu wa mkoa Mbeya akitembelea maeneo yalioadhirika na kimbunga hicho

Moja wa waadhirika katika kimbunga hicho








Via Mbeyayetublog


TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

 
Top