Kimbunga kilichoambatana na mvua kali kimeua watu wawili na kuharibu nyumba zaidi ya 183 katika Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya.
Mkuu wa mkoa Mbeya Abas akielezewa jinsi kimbunga hicho kilivyo haribu nyumba za wananchi wa kata tatu Mbarali |
Mkuu wa mkoa Mbeya akitembelea maeneo yalioadhirika na kimbunga hicho |
Moja wa waadhirika katika kimbunga hicho |
Via Mbeyayetublog |
0 comments:
Post a Comment