Menu
  • About
  • Contact
    • t
  • Menu
  • twitter
  • facebook
  • google
  • rss
  • linkedin
  • dribbble
  • pinterest

Azimio Blog

Haki na Usawa

Menu
  • HOME
  • SIASA
  • UCHUMI
  • KIJAMII
  • MAGAZETI
  • MICHEZO
  • TEKNOLOJIA
  • ELIMU
  • TANZIA
Home » »Unlabelled » Matokeo Darasa la saba mwaka 2012 yatoka

Matokeo Darasa la saba mwaka 2012 yatoka

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mh. Shukuru Kawambwa

Jumla ya watahiniwa  laki 5 sitini elfu mia saba na sita (560,706) kati ya wanafunzi laki 8 sitini na tano elfu mia tano thelathini na nne (865, 534) ambao ni sawa na asilimia 64.7 wamefaulu mtihani wa taifa wa darasa la saba
uliofanyika mwezi Septemba mwaka huu.

Akitangaza matokeo hayo jijini Dar es salaam waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Dk.Shukuru Kawambwa amesema matokeo hayo ya mwaka huu yanaonesha kiwango cha ufaulu kimeongezeka kwa asilimia 8.8 ukilinganisha na matokeo ya mwaka jana. Amesema kati ya watahaniniwa waliofaulu ,asilimia 50.2 ni wasichana na asilimia 49.8 ni wavulana

Waziri Kawambwa amesema ukilinganisha na mtihani wa mwaka jana,vitendo vya udanganyifu vimepungua ambapo wanafunzi 293 pekee ndio waliofutiwa matokeo kutokana na udanganyifu huku  kwa mwaka jana jumla ya wanafunzi 9,736 walibainika kufanya vitendo hivyo.

Waziri Kawambwa ameongeza kuwa  jumla ya wanafunzi 3,087 wamefaulu kwa daraja A,wanafunzi 40,683 wamefaulu kwa daraja B  huku wanafunzi 222 wakifaulu kwa daraja C.




{cwHeading}

  • nuptialjaylinYou have Unread Messages.
Close Chat WindowMaximise Chat Window
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
3:40 PM
Unknown
Next
Newer Post
Previous
Older Post

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)
x


About Me

View my complete profile

Total Pageviews

  • Populars
  • Comments
  • Archive

Popular Posts

  • MAGAZETI YA LEO JUMANNE 01.07.2014
    Millard
  • TANGAZO LA MAFUNZO YA UALIMU DARAJA 'A' NA STASHAHADA MWAKA 2013/2014
     Nafasi za Mafunzo ya Ualimu Ngazi ya Cheti Daraja A na Stashahada kwa mwaka wa masomo 2013/2014. Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunz...
  • MAANDAMANO MAKUBWA KUPINGA MUSWADA
      Muungano wa vyama vitatu vya siasa nchini NCCR-Mageuzi, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Chama cha Wananchi (CUF) umeanda...
  • WANASWA NA MZIGO WA MADAWA YA KULEVYA DAR
    Agness Jerad Musaa. Kibano! Wanawake wawili, wakazi wa jijini Dar wamekumbwa na bonge la msala baada ya kutiwa mbaroni na kikosi ka...
  • MAGAZETI YA LEO JUMATANO 17.09.2014
    . MILLARD
  • CCM wamkaanga Warioba, Waunda mabaraza yao ya Katiba kujadili rasimu
      Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetofautiana na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadil...
 
Azimio Blog © 2013. All Rights Reserved. Powered by Blogger
Top