Matairi yakachomwa katikati ya barabara
![]() |
| Mambo hayo |
Askari wakiondoa magogo yaliyowekwa barabarani na waandamanaji
Baadhi ya wananchi wakitafakari juu ya kinachoendelea
Hali ilivyokuwa katika mkituo cha Polisi
Wananchi wakikimbia kutoka eneo la tukio
| Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya Diwani akiongea na waandishi wa habari |
Wanafunzi wakisindikizwa na jeshi la polisi kurudi majumbani mwao
Polisi wakiendelea kazi yao katika mitaa ya Tunduma
| Baadhi ya magati ya IT yaendayo nchini Zambia yakiwa yamepakiwa nnje kidogo ya mji wa Tunduma kuogopa kuharibiwa kwa magari hayo |
Chanzo: Mbeya Yetu TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:
Post a Comment