Matairi yakachomwa katikati ya barabara


Mambo hayo 



Wandishi walipata shida sana kufika katika mji wa Tunduma kwa vile walikutana na vikwazo vingi sana lakini wananchi walikuwa waelewa waliwasaidia kutoa magogo na matairi ili wapite na kisha kupata habari


Askari wakiondoa magogo yaliyowekwa barabarani na waandamanaji



Baadhi ya wananchi wakitafakari juu ya kinachoendelea


Hali ilivyokuwa katika mkituo cha Polisi

Wananchi wakikimbia kutoka eneo la tukio









Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya Diwani akiongea na waandishi wa habari


Wanafunzi wakisindikizwa na jeshi la polisi kurudi majumbani mwao
Polisi wakiendelea kazi yao katika mitaa ya Tunduma
Baadhi ya magati ya IT yaendayo nchini Zambia yakiwa yamepakiwa nnje kidogo ya mji wa Tunduma kuogopa kuharibiwa kwa magari hayo




 Chanzo: Mbeya Yetu TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

 
Top