![]() |
| Mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari za UKIMWI, AJAAT, Adolf Simon Kivamwo akizungumza jambo |
Mwenyekiti huyo amewataka waandishi kuelimisha juu ya masuala mbalimbali kama unyanyapaa, suala ambalo limekuwa likirudisha nyuma jitihada za mapambano dhidi ya UKIMWI katika jamii. Hata hivyo Bwana Kivamwo ametoa angalizo kwa waandishi kuhakikisha wanaripoti kwa usahihi na kuacha kutumia lugha inayowakatisha tama watu wanaoishi na virusi vya ugonjwa huo
AJAAT ilianzishwa mwaka 2004 ambapo imekuwa ikiwezesha mafunzo kwa wanahabari na jamii kwa ujumla kupitia semina,warsha na machapisho
mbalimbali.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:
Post a Comment