Askari wa jiji wakishughulika katika kulifunga tairi la gari lililoegeshwa kinyume cha sheria katikati ya jiji ambapo mmiliki wake atatakiwa kulipa kiasi cha shilingi elfu 50 kama faini ya kosa hilo. |
Askari wa jiji akiongea na mmoja aliyekutwa ndani ya gari alipoulizwa anajua kuendesha akajibu hapana lakini dereva kaingia ofisini mara moja ndipo mgambo akachukua hatua ya kulifunga kabisa. |
Gari ndogo aina Starlet ikiwa imefungwa mara baada ya kupaki eneo ambalo haliruhusiwi kufanya hivyo |
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
0 comments:
Post a Comment