Habari mbaya zilizotufikia hivi punde ni kwamba Mtoto mmoja kati ya mapacha wanne, Pichani,  amefariki dunia jioni ya leo(jana) baada ya kuugua kifua kwa muda mfupi, ni mtoto wa kwanza kushoto ambaye pia ndiye alikuwa ni mkubwa. Taarifa zaidi zinakuja endelea kufuatilia
 
Picha ya mapacha hao wanne 

Mwandishi Mkuu wa Mbeya yetu Blog Joseph Mwaisango , akiwa pamoja na mtoto wake Erick Mwaisango wakati walipokwenda kuwatembelea watoto hao.

Chanzo: Mbeya yetu
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

 
Top