
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Anne Simamba Makinda katika Kivazi chake na Namna alivyotengeneza nywele zake.Picha hii ilipigwa Mwaka 1994 wakati Mama Anne Semamba Makinda akiwa ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Wanawake na Watoto.
Gavana
wa Kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania, Waziri wa Zamani wa Fedha,
Mfanyabiashara na Mkulima Mashuhuri, Mchunga Mbuzi aliyebobea, Fundi
Viatu aliyepata Elimu kwa Msaada wa Chama cha Ushirika, Mwasisi wa Chama
cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA na Mmoja wa Viongozi Madhubuti wa
Taifa hili, Mzee Edwin Mtei.Picha hii ilipigwa Mwezi Aprili Mwaka 1974 wakati Bwana Edwin Mtei alipoteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Jumuia ya Afrika Mashariki.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:
Post a Comment