Moja ya duka ambalo lilianza kuwaka moto mida ya saa tatu usiku kutokana na hitirafu ya umeme likiwa na baadhi ya nguo zilizoungua kwa moto huo maduka hayo yapo jirani na kituo cha afya cha Ruanda jijini Mbeya
Mbeya yetu haikuweza kuwahi kwenye tukio ilikuta tayari kikosi cha zimamoto mbeya kwa kushilikiana na jeshi la polisi walikwisha zima moto huo kwa ujumla wakazi waeneo hilo la mwanjelwa wamewashukurusana kikosi cha zimamoto na polisi kwa kuwahi kwenye tukio na kuuzima moto huo
Baadhi ya wamilikiwa maduka hayo wakilia kwa uchungu baada ya kuona baadhi ya mali zao zilivyoteketea kwa moto
Baadhi ya wafanyabiashara wa eneo hilo la mwanjelwa wakimfariji mwenzao ambae duka lake limeungua
Hili ndilo eneo la maduka ya wafanya biashara wa nguo mwanjelwa yalionusurika kuwaka moto jana usiku


VIA Mbeya Yetu



TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

 
Top