Mkutano wa Wahandisi washauri wa kimataifa unataraji kuanza
leo na kumalizika kesho katika hotel ya Serena jijini Dar es Salaam.
Rais wa Chama cha wahandisi washauri Tanzania Injinia Menye Manga amesema ni mara ya kwanza
kwa Tanzania kuandaa mkutano huo ambao utajadili masuala mbalimbali yanayohusiana
na uhandisi.
Injinia Manga amesema ni fursa nzuri kwa Watanzania kutumia
mkutano huo ili kubadilishana uzoefu na wataalam wengine kutoka nje ya
Tanzania.
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
0 comments:
Post a Comment