Vijana
wametakiwa kujitambua kuwa wao ndio nguvu kazi ya taifa na kutumia wao mwingi
katika shughuli za kujileta maendeleo wao wenyewe na taifa kwa ujumla.
mkurugenzi wa kampuni ya maboma bwana Simon Ndiganya amesema
kuongezeka kwa vitendo viovu yakiwemo matukio ya wizi kunasasababishwa na
vijana wengi kushindwa kujitambua na kutumia nguvu kazi yao kwa uzalishaji
Amesema
endapo vijana nchini watatambua fursa walizo nazo na kuzitumia ipasavyo,vitendo
hivyo viovu vitapungua kwa kiasi kikubwa na maisha kwa ujumla yataimarika
Bwana
Maboma amesema tofauti na miaka ya nyuma,hivi sasa kuna kampuni nyingi ambazo
zinatoa mafunzo ya stadi za maisha kama vile ujasiriamali,na kuwataka vijana
kutumia fursa hizo kupata stadi ili waweze kujiajiri wenyewe
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
0 comments:
Post a Comment