Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Rais Dkt
Mohamed Ghalib Bilali, Rais wastaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi na Mzee
Benjamin William Mkapa, Waziri Mkuu Mstaafu Dkt Salim Ahmed Salim,
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kianana wakiungana na mamia ya
waombolezaji katika mazishi ya Mzee Ally Kleist Sykes, mmoja wa waasisi
wa chama cha TANU, leo katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam
leo Mei 20, 2013
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza mamia ya
waombolezaji katika mazishi ya Mzee Ally Kleist Sykes, mmoja wa waasisi
wa chama cha TANU, leo katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam
leo Mei 20, 2013.
PICHA NA IKULU
0 comments:
Post a Comment