Mbunge wa jimbo la Iringa mjini
mchungaji, Peter Msigwa akishuka katika gari ya polisi baada ya
kufikishwa mahakamani mchana huu katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa
wa Iringa pamoja na watuhumiwa wengine zaidi ya 60 .
Ulinzi mkali
uliwekwa katika eneo hilo la mahakama kuzuia wafuasi wa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuingia eneo la Mahakama jambo lililowafanya wafuasi hao kushindwa kushuhudia vyema kesi hiyo, inayomkabiri Mbunge wao, kwa vile walilazimika kushuhudia wakiwa nje ya geti
0 comments:
Post a Comment