Mbunge  wa  jimbo la Iringa mjini mchungaji,  Peter Msigwa akishuka katika gari ya  polisi baada ya kufikishwa mahakamani mchana  huu katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa  wa Iringa  pamoja na  watuhumiwa  wengine  zaidi ya 60 .
 
 
Ulinzi mkali uliwekwa katika eneo hilo la mahakama  kuzuia wafuasi  wa  Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuingia eneo la Mahakama jambo lililowafanya wafuasi hao kushindwa kushuhudia vyema kesi hiyo, inayomkabiri Mbunge wao, kwa vile walilazimika kushuhudia wakiwa nje ya geti
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

 
Top