MAELEKEZO MUHIMU
Wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na Mafunzo haya wanatakiwa kuripoti Chuo cha Ualimu Morogoro kuanzia tarehe 18/10/2013 hadi 20/10/2013.

Wanafunzi wanatakiwa kufika chuoni wakiwa na mahitaji yafuatayo:
  1. Vyeti halisi vya Baraza la Mitihani la Tanzania vya Kidato cha NNE na SITA;
  2. Ada ya muhula wa kwanza sh. 100,000/= ;
  3. Sare ya Chuo (Suruali/sketi: koti na tai nyeusi; shati ya mikono mirefu ya rangi ya bluu bahari); na
  4. Fedha za tahadhari chuoni na matumizi binafsi.
Usajili wa waliochaguliwa kujiunga na Mafunzo utafungwa terehe 20/10/2013 saa 12.00 jioni.


icon Bofya hapa kupata majina ya waliochaguliwa

icon Bofya hapa kupata fomu ya kujiunga

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi  TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

 
Top