Menu
  • About
  • Contact
    • t
  • Menu
  • twitter
  • facebook
  • google
  • rss
  • linkedin
  • dribbble
  • pinterest

Azimio Blog

Haki na Usawa

Menu
  • HOME
  • SIASA
  • UCHUMI
  • KIJAMII
  • MAGAZETI
  • MICHEZO
  • TEKNOLOJIA
  • ELIMU
  • TANZIA
Home » »Unlabelled » Matokeo Darasa la saba mwaka 2012 yatoka

Matokeo Darasa la saba mwaka 2012 yatoka

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mh. Shukuru Kawambwa

Jumla ya watahiniwa  laki 5 sitini elfu mia saba na sita (560,706) kati ya wanafunzi laki 8 sitini na tano elfu mia tano thelathini na nne (865, 534) ambao ni sawa na asilimia 64.7 wamefaulu mtihani wa taifa wa darasa la saba
uliofanyika mwezi Septemba mwaka huu.

Akitangaza matokeo hayo jijini Dar es salaam waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Dk.Shukuru Kawambwa amesema matokeo hayo ya mwaka huu yanaonesha kiwango cha ufaulu kimeongezeka kwa asilimia 8.8 ukilinganisha na matokeo ya mwaka jana. Amesema kati ya watahaniniwa waliofaulu ,asilimia 50.2 ni wasichana na asilimia 49.8 ni wavulana

Waziri Kawambwa amesema ukilinganisha na mtihani wa mwaka jana,vitendo vya udanganyifu vimepungua ambapo wanafunzi 293 pekee ndio waliofutiwa matokeo kutokana na udanganyifu huku  kwa mwaka jana jumla ya wanafunzi 9,736 walibainika kufanya vitendo hivyo.

Waziri Kawambwa ameongeza kuwa  jumla ya wanafunzi 3,087 wamefaulu kwa daraja A,wanafunzi 40,683 wamefaulu kwa daraja B  huku wanafunzi 222 wakifaulu kwa daraja C.




{cwHeading}

  • nuptialjaylinYou have Unread Messages.
Close Chat WindowMaximise Chat Window
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI
3:40 PM
Unknown
Next
Newer Post
Previous
Older Post

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)
x


About Me

View my complete profile

Total Pageviews

  • Populars
  • Comments
  • Archive

Popular Posts

  • SERIKALI YASAINI MKATABA KUZALISHA MEGAWATI 400 ZA UMEME
      Waziri wa nishati na madini Profesa Sospeter Mhongo.   Serikali imeingia makubaliano na kampuni ya General Electric ya Marekani   k...
  • HOTUBA YA MHESHIMWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KWENYE KILELE CHA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI, MEI MOSI 2013, MBEYA
    HOTUBA YA MHESHIMWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KWENYE KILELE CHA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI, ...
  • HABARI ZA KIPOLISI KUTOKA KATAVI
    JESHI la polisi mkoani Katavi limewaasa wananchi kujihadhari na wageni wasioeleweka shughuli zao na mahali wanakotoka kutokana ...
  • Matokeo Darasa la saba mwaka 2012 yatoka
    W aziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mh. Shukuru Kawambwa Jumla ya watahiniwa  laki 5 sitini elfu mia saba na sita (560,706...
  • CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM KUANZA KUTOA SHAHADA YA MAFUTA NA GESI
    Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dare Salaam Profesa Rwekaza Mukandala Chuo  kikuu cha Dar es Salaam UDSM kinataraji kuanza kutoa mafu...
  • CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE) WAKANUSHA UVUMI
      Na. Aron Msigwa – MAELEZO. Dar es salaam. Mkuu wa chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kampasi ya Dar es salaam Prof. Emanuel Mjema ...
 
Azimio Blog © 2013. All Rights Reserved. Powered by Blogger
Top